Friday, 22 July 2016

Majibizano ya Risasi ya zuka Munich Ujerumani



Watu 6 wanahofiwa kufa katika maeneo ya Maduka (shopping center) Mjini Munich Nchini Ujerumani Polisi wamesema;

Kuna shughuli kubwa ya ulinzi inaendelea eneo la maduka ya Olympia Munich. Polisi imesema inawatafuta watu 3 wanaoshukiwa kupanga na tekeleza hilo tukio.