Majibizano ya Risasi ya zuka Munich Ujerumani
Watu 6 wanahofiwa kufa katika maeneo ya Maduka (shopping center) Mjini Munich Nchini Ujerumani Polisi wamesema;
Kuna shughuli kubwa ya ulinzi inaendelea eneo la maduka ya Olympia Munich. Polisi imesema inawatafuta watu 3 wanaoshukiwa kupanga na tekeleza hilo tukio.