
Ndege ya Jeshi la India aina ya Antonov-32 imepotea eneo la Ghuba ya Bengal ikiwa na watu zaidi ya 20 Jeshi la India la Dhibitisha. Ndege hiyo ilitakiwa kutua muda wa India saa 11.30.
Msemaji wa jeshi la maji la India amesema ndege za uchunguzi (surveillance planes) na meli zimeanza kuitafuta hiyo ndege.